“I Can’t Have a Child” – Diamond Platnumz Ex-Girlfriend Wema Sepetu Speaks Out

Wema Sepetu Reveals Her Darkest Secret -Why She Cannot Conceive Children

“I Can’t Have a Child” – Diamond Platnumz Ex-Girlfriend Wema Sepetu Speaks Out
Read: 24679 times \

The former beauty queen and Tanzania’s leading actress has today let the world know that she hasn’t been able to get a child. In a very long emotional post, Wema Sepetu says that she would have loved to have a child but unfortunately she’s not able.

“Unajua hili suala la mtoto linanisumbua sana yaani na linaniuma kwa sababu napenda watoto sana na pia napenda kuitwa mama, nimehangaika sana katika kuhakikisha nafanikiwa katika hili lakini ndiyo hivyo imeshindikana.

“Serious! Ilifika kipindi yaani nilikuwa nachukia nilipokuwa nikiziona siku zangu, nilikuwa sipendi kukutana na hiyo hali kwa sababu naumia sana lakini ndiyo hivyo baada ya kuhangaika sana inabidi nimwachie Mungu tu. Nahisi kukata tamaa lakini bado sijakata tamaa.

“Watu wananiambia mimi bado mdogo kwa hiyo sitakiwi kuwa na wasiwasi sana ila muda unakwenda, sasa nina miaka 27. Niliwahi kupata mimba mwaka 2008, aliyenipa alikuwa marehemu Kanumba, lakini baadaye ilitoka na aliposikia hivyo (Kanumba) alikasirika kwa kweli.

“Lakini baadaye ikawa kawaida, hata nilipokuja kuachana naye, bado alikuwa rafiki yangu na tulikuwa tunaongea vizuri na kupigiana simu kama kawaida ila alikuwa ananiambia ‘unajua una deni, nakudai watoto wangu na nitafanya juu chini ili unilipe’.

“Basi ikawa kawaida yake kuniambia hivyo, wiki chache kabla ya kufariki aliniomba tuonane lakini haikuwezekana kutokana na ratiba zetu kutofautiana.

“Kuna muda huwa nafikiri au mizimu yake inahusika katika hii ishu! (anacheka sana).

“Unajua ile mimba ya Kanumba hata mimi sikuwa tayari kupata mtoto wakati ule, niliona ndiyo kwanza naingia kwenye mapenzi halafu ndiyo nimetoka kuwa miss tu, sasa itakuwaje, lakini huwezi jua labda pengine kwenye ‘abortion’ walivuruga baadhi ya vitu ndiyo maana mpaka leo imekuwa hivi,”

Some highlights of the long Kiswahili message;

"You know this talk of child bearing troubles me greatly and that is why I would like to have my own children very much and also be called a mother, but yes it has failed.
"Serious! I had reached a time that I hate all my days; I did not want to meet that condition personally. I feel desperate but not yet discouraged.
"People tell me I am still young so I should not have to worry too much, but time goes, I am now 27 years I used to get pregnant in 2008,but things don’t work out lately am very angry at myself indeed.
You will excuse my poor Kiswahili message interpretation but atleast that is so close.

This part of the story appeared on mpasho.co.ke

Download the Howwe Music App
Howwe App

MSport